Siku Moto Ulipolipuka kwenye jengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar-es-salaam
Habari kamili au za wazi kuhusu chanzo cha moto huo na hasara zake, hazikutolewa kwa wazi sana licha ya ujio wapelelezi kutoka Uingereza ambao waliwasili nchini kufanya uchunguzi wa tukio hilo na kutoa ripoti kwa mamlaka…