Taifa Tanzania Taifa Tanzania - Afrika Mashariki

  • Habari
  • Simulizi
  • Uchumi
  • Burudani
  • Teknolojia
  • Mazingira
  • Fedha za Kigeni
Taifa Tanzania
  • Mwanzo
  • Mwandishi Wetu
  • Ukurasa 3

Mwandishi

Mwandishi Wetu Idadi 43 0 Mijadala

Habari

Mahakama yazuia kuuzwa kwa Kitalu cha Burunge

Mwandishi Wetu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Saalam, imezuia mchakato wa kupiga mnada Kitalu cha uwindaji   katika  eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Jamii Burunge (JUHIBU) Mahakama imetoa zuia la dharura la…
Siasa

Kuelekea Miaka 62 ya Uhuru: Rais Samia Miongoni mwa Wanawake 100 wenye ushawishi Mkubwa Duniani

Mwandishi Wetu
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Kristalina Georgieva, na aliyekuwa mke wa mmoja wa watu matajiri zaidi duniani Jeff Bezos, Mackenzie Scott, nao pia wametambuliwa kwenye orodha hiyo yenye…
Ripoti Maalum

Kinachoisibu Jumuiya ya Hifadhi ya Jamii, Burunge wilayani Babati

Mwandishi Wetu
Mgogoro huo umeibuka baina  ya Mwenyekiti wa jumuiya hiyo, Hamis Juma  na  Bodi ya wadhamini wa jumuiya hiyo ambayo inaungwa mkono na baraza la ushauri la maliasili la wilaya hiyo na wananchi waliowengi.
Mazingira

Ng’ombe zaidi ya 15 wafa Monduli baada ya kula majani yenye sumu

Mwandishi Wetu
Baadhi ya wafugaji wa wilaya ya Monduli wamesema kuwa kawaida Majani ambayo huchipua kutokana na mvua zinazonyeesha baada ya kipindi kirefu cha ukame huwa na madhara kwa ng'ombe na mifugo mingine.
Mazingira

Moto Kilimanjaro ulivyodhibitiwa Mlimani mwaka 2022 na jinsi ya kujiandaa dhidi ya matukio kama hayo mwaka huu

Mwandishi Wetu
Uwepo wa miinuko mikali na makorongo makubwa pamoja na mlundikano wa mboji ambayo huhifadhi moto kwa muda mrefu iliongeza ugumu wa zoezi la kuzima moto
Habari

Twitter Msalabani Kwa Kuithibitisha Akaunti iliyofunguliwa na ‘Yesu Kristo!’

Mwandishi Wetu
Hata hivyo baada ya kelele nyingi, Twitter walilazimika kuondoa alama bluu ya uthibitisho, wa kuitambua rasmi akaunti ya Yesu
Mazingira

Mgogoro waibuka Hifadhi ya Jamii Burunge baada ya kitalu cha uwindaji kutangazwa bila ridhaa ya Viongozi

Mwandishi Wetu
"Tukumbuke kuwa haya pia ni mapito ya wanyama," wanasema viongozi wa Hifadhi ya Jamii ya Burunge (WMA).
Simulizi na Historia

Historia ya Eneo la Muheza, Tanga

Mwandishi Wetu
"...Walimpa mlima wote wa Magila wakidhani kuwa atashindwa kujenga kwa sababu ya kuwa na mawe mengi. Kwa mshangao aliporudi aliyatumia mawe hayo hayo kujengea...!"
Habari

China Yaisamehe Tanzania Deni la Shilingi Bilioni 31.4

Mwandishi Wetu
China inaongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania. Hadi kufikia Mwezi Oktoba 2022, Jumla ya miradi 1,098 yenye thamani ya Dola za Kimarekani Bilioni 9.6 ilisajiliwa katika kituo cha uwekezaji cha TIC.
Uchawi wa Teknolojia

Jinsi ya Kugundua Kamera za Siri zilizotegwa katika Nyumba za Kulala Wageni

Mwandishi Wetu
Uko safarini, unatafuta chumba cha hoteli, hujui hili wala lile....Halafu ghafla...
Rudi Nyuma 1 2 3 4 5 Ukurasa Unaofuata
  • Habari
  • Simulizi
  • Uchumi
  • Burudani
  • Teknolojia
  • Mazingira
  • Fedha za Kigeni
© 2023 - Taifa Tanzania (Afrika Mashariki) - Haki zote zimehifadhiwa
Taifa Tanzania ni Gazeti huru la Habari, Makala na Uchambuzi linaloandaliwa katika lugha ya Kiswahili kwa ajili ya wakazi wa Afrika Mashariki na Maeneo yote ya Maziwa makuu.
Sign in
  • Habari
  • Simulizi
  • Uchumi
  • Burudani
  • Teknolojia
  • Mazingira
  • Fedha za Kigeni

Welcome, Login to your account.

Forget password?
Sign in

Recover your password.

A password will be e-mailed to you.