Idadi ya wanawake pekee imefikia 31,687,990, kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya kitaifa ya watu na makazi yaliyotangazwa rasmi jijini Dodoma na Rais Samia Suluhu Hassan.
Mawe kadha ya ajabu kutoka sayari za mbali, maarufu kama Vimondo, yamekwisha kuanguka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Je, kuna nini cha ziada eneo hili?
JOHN BUTLER WALDEN
John Butler Walden (Desemba 12, 1939 – 7 Julai 2002) alikuwa Brigedia wa Tanzania, ambaye aliongoza wanajeshi wa nchi hii katika vita vya 1978-1979 vilivyosaidia kumuondoa dikteta wa kijeshi Idi Amin katika nchi jirani ya!-->!-->!-->…