Ng’ombe zaidi ya 15 wafa Monduli baada ya kula majani yenye sumu
Baadhi ya wafugaji wa wilaya ya Monduli wamesema kuwa kawaida Majani ambayo huchipua kutokana na mvua zinazonyeesha baada ya kipindi kirefu cha ukame huwa na madhara kwa ng'ombe na mifugo mingine.