Mawakili wa Mbunge wa Ngorongoro kuvishitaki vyombo vya usalama kwa kumficha mteja wao
Mawakili wake, Joseph Ole Shangay and Alasi Melau sasa wanafungua kesi katika mahakama kuu kuvishitaki vyombo vya usalama kwa kumshikilia mteja wao kwa Zaidi ya saa 24 bila kumfungulia mashitaka yeyote.