Taifa Tanzania Taifa Tanzania - Afrika Mashariki

  • Habari
  • Jarida
  • Michezo
  • Mazingira
  • Biashara
  • Makala
  • Siasa
  • Burudani
  • Fedha za Kigeni
  • Gazeti la Kiingereza
Taifa Tanzania
  • Mwanzo
  • Berry Mollel

Mwandishi

Berry Mollel Idadi 13 0 Mijadala

Mtuhumiwa wa Ujambazi Arusha adaiwa kupotea Polisi katika mazingira ya kutatanisha

Berry Mollel Mar 26, 2023
Ibrahim mwenye umri wa miaka 22 anadaiwa kukamatwa tarehe 28 Januari Mwaka huu, akiwa maeneo ya Kijenge, kwa mujibu wa Mama yake, Agness Lucas Ngonyani, mkazi wa Kimandolu.

Jiji la Arusha latoa Shilingi Bilioni 2.7 Kama mikopo kwa Vijana na Wanawake

Berry Mollel Mar 24, 2023
Halmashauri ya jiji la Arusha limefanikiwa kutoa mikopo ya jumla ya shilingi bilioni 2.656 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Mikopo hiyo isiyo na riba imetokana na asilimia 10 ya…

Watumishi wa Umma walioachishwa kisa Vyeti, sasa kupata Shilingi Bilioni 32

Berry Mollel Dec 11, 2022
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha, meneja wa uhusiano na Elimu kwa wanachama PSSSF, James Mlowe amesema kuwa hadi Sasa baada ya mchujo wa awamu ya kwanza zaidi ya watumishi 9,700 wameidhinishwa…

Arusha kufuta magari madogo ya abiria kutoka kwenye sekta ya usafirishaji Jijini

Berry Mollel Nov 22, 2022
Magari madogo aina ya Toyota Hiace na Nissan Caravan yanatakiwa kupisha mabasi ya saizi ya kati kama Toyota Coaster na Nissan Civillian

Sekta ya Ufugaji Kuku Nchini Sasa Hatarini Kutokana na Mfumuko wa Bei

Berry Mollel Nov 22, 2022
Tatizo hili la chakula kupanda ni bei ya nafaka imekuwa changamoto Sana kiasi cha wafanyabiashara wa chakula kutupandishia bei ya chakula lakini lingine ni ubora wa vyakula vyenyewe viko chini kiasi cha…

Canada yatoa Bilioni 46 Kuwasaidia Wasichana Nchini Tanzania

Berry Mollel Nov 19, 2022
Akizungumzia mradi huo, mwakilishi wa ubalozi wa Canada, Bronwyn Cruden alisema kuwa serikali yake imetoa jumla ya Dola milioni 25 za Canada ambazo ni sawa na shilingi Bilioni 45.6 kwa ajili ya kudhamini  mradi…

Treni Mpya 10, Mabehewa 270 Kuagizwa ili kukabiliana na wimbi la Safari za Krismas na Mwaka Mpya

Berry Mollel Nov 18, 2022
Treni mpya 10 na mabehewa 270 yameagizwa ili kukabiliana na ongezeko la abiria na mizigo kwenye usafiri wa reli kati ya Arusha na Dar-es-salaam.

Benki ya NMB Yatoa vifaa vya Tiba kwa ajili ya Zahanati mpya Arumeru, Arusha

Berry Mollel Nov 13, 2022
mradi wa ujenzi wa zahanati hiyo, ilianza mwaka 2013 kwa michango ya wananchi na mfuko wa jimbo  kiasi cha shilingi milioni 75.

Mfuko wa Hifadhi za Jamii Kutoa Mikopo, Mashine Kusaidia Uwekezaji Katika Viwanda Vidogo nchini

Berry Mollel Oct 28, 2022
Hadi sasa zaidi ya shilingi milioni 858 zimetolewa kwa vikundi 18 huku NSSF wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi waliomo katika sekta isiyo rasmi.

Vitunguu vya Mang’ola Vyasababisha Machozi Karatu baada ya bei kuporomoka

Berry Mollel Oct 25, 2022
Viliwahi kuwa dhahabu nyekundu kwa mkoa wa Arusha, lakini sasa vitunguu vya kutoka Karatu vimekuwa mali ya kale
1 2 Ukurasa Unaofuata

Most Read

- Advertisement -

- Advertisement -

  • Habari
  • Jarida
  • Michezo
  • Mazingira
  • Biashara
  • Makala
  • Siasa
  • Burudani
  • Fedha za Kigeni
  • Gazeti la Kiingereza
Hakimiliki © 2023 - TAIFA TANZANIA - Afrika Mashariki. Haki zote Zimehifadhiwa.
TAIFA TANZANIA ni Gazeti Huru linaloandaliwa kwa lugha ya Kiswahili Afrika Mashariki kwa ajili ya wakazi wa eneo zima la Maziwa Makuu pamoja na Pembe ya Afrika. Wasiliana nasi kupitia Anwani Zifuatazo. Barua Pepe: mhariri@taifatanzania.com au letanzanie@gmail.com
Sign in
  • Habari
  • Jarida
  • Michezo
  • Mazingira
  • Biashara
  • Makala
  • Siasa
  • Burudani
  • Fedha za Kigeni
  • Gazeti la Kiingereza

Welcome, Login to your account.

Forget password?
Sign in

Recover your password.

A password will be e-mailed to you.