George Gathogo: Msindikaji Maziwa anayelenga kuteka soko la Afrika Mashariki
Washindani wake kibiashara walianza hadi kuwatishia watu waliotaka kusambaza au kuuza bidhaa zake kwamba wangesitisha kumpa bidhaa zingine za maziwa kutoka kwao iwapo angeendelea kuchanganya na maziwa yake.