Hapo zamani palikuwa na Wanyasa wenye kufuatilia mambo mbalimbali duniani kote, hasa kupitia mawasiliano ya redio.
Wazee wa sasa wanapenda sana redio kuliko televisheni.
Redio ziliwasaidia kujua mengi na kukuza ufahamu na kutunza kumbukumbu nyingi zaidi vichwani mwao. Moja ya!-->!-->!-->!-->!-->…
Eneo la Peramiho moani Ruvuma, ni eneo lenye kumbukumbu nyingi muhimu zinazostahili kutunzwa zaidi hasa kwa maandishi.
Na kati ya watu muhimu waliopitia Peramiho ni pamoja na Padre Lambert Dorr.
Padre Dorr pengine ndiye Mjerumani aliyeipenda zaidi Tanzania kuliko Ujerumani yenyewe.
!-->!-->!-->!-->!-->!-->!-->…