Spika Tulia Ackson Apendekezwa kuwania Urais wa Umoja wa Mabunge ya nchi 189 Duniani
Mbunge kutoka jimbo la Gauteng, Afrika ya Kusini, Darren Bergman ndiye aliwasilisha hoja katika kikao cha Bunge la SADC kutaka nchi hizo wanachama wa Jumuiya, kumuunga mkono Tulia Ackson