Wakala wa Mbegu za Kilimo Tanzania (ASA) imejipanga kuongeza uzalishaji wa miche ya zao la michikichi hadi kufikia zaidi ya miche 300,000 kwa mwaka ili kusaidia kupunguza wimbi la uingizaji wa mafuta ya kula nchini.
Hatua hiyo, kwa kiasi fulani inatokana na maagizo ya Waziri wa Mkuu,!-->!-->!-->…
TANZANIA limekuwa taifa la kwanza miongoni mwa wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), kusaini mkataba wa kuanzishwa kituo cha huduma za kibinadamu na operesheni za dharura za kanda.
Akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini mkataba huo iliyofanyika Jijini!-->!-->!-->…
Tanzania ina watu ambao wamezaliwa wakiwa na jinsia zote mbili za Kike na Kiume, ingawa hawana tatizo lolote lakini jamii inachukulia kuwa huo pia ni ulemavu
Wamiliki wa kampuni hiyo ya Uchukuzi, Iringa pia wanadai kunyanyaswa na baadhi ya maofisa wa serikali huku hati yao ya umiliki ikiwa imeshikiliwa kusikojulikana