Vijiji Kumi Meatu Kupimwa ili kuepusha migogoro kati ya binadamu na wanyamapori
Kufuatia kuongezeka kwa idadi ya wanyamapori, hususan Tembo, Meatu imeanza harakati ya kupima upya maeneo kwenye vijiji kumi vinavyozunguka hifadhi ya jamii ya Makao