Zaidi ya wanafunzi 50 Ngorongoro wawezeshwa kujiunga sekondari kwa michango ya wananchi
Ni kutoka katika kata tatu za Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro, mkoani Arusha. Watajiunga na elimu ya sekondari mwaka huu, kwa kidato cha kwanza, baada ya kuhitimu elimu ya msingi,