Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Kristalina Georgieva, na aliyekuwa mke wa mmoja wa watu matajiri zaidi duniani Jeff Bezos, Mackenzie Scott, nao pia wametambuliwa kwenye orodha hiyo yenye sifa kubwa…
Idadi ya wanawake pekee imefikia 31,687,990, kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya kitaifa ya watu na makazi yaliyotangazwa rasmi jijini Dodoma na Rais Samia Suluhu Hassan.