‘Sisi ndio tulitoa eneo kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro!’
Wakazi wapatao 2000 kutoka vijiji saba vinavyouzunguka uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro, wanadai kuwa baba na babu zao ndio hasa waliowezesha uwepo wa eneo hilo la kutua ndege.
"Waanzilishi wa!-->!-->!-->…