Fundi Ujenzi Afariki baada ya kuangukia Panga Lake Mwenyewe wakati akikwepa Mti aliokuwa anaukata
Taarifa kutoka wilayani Serengeti, Mkoani Mara, zinaeleza kuwa Marehemu Mkirya alichomwa na panga hilo kifuani baada ya kuliangukia wakati akijaribu kukwepa kuangukiwa na mti mkubwa wa mwembe aliokuwa anaukata.