Sekta ya Ufugaji Kuku Nchini Sasa Hatarini Kutokana na Mfumuko wa Bei
Tatizo hili la chakula kupanda ni bei ya nafaka imekuwa changamoto Sana kiasi cha wafanyabiashara wa chakula kutupandishia bei ya chakula lakini lingine ni ubora wa vyakula vyenyewe viko chini kiasi cha kutulazimu…