Canada yatoa Bilioni 46 Kuwasaidia Wasichana Nchini Tanzania
Akizungumzia mradi huo, mwakilishi wa ubalozi wa Canada, Bronwyn Cruden alisema kuwa serikali yake imetoa jumla ya Dola milioni 25 za Canada ambazo ni sawa na shilingi Bilioni 45.6 kwa ajili ya kudhamini mradi…