Taifa Tanzania
Taifa Tanzania. Gazeti Huru la Afrika Mashariki linaloandaliwa kwa lugha ya kiswahili
Browsing Category

Habari

Habari Mpya

Mfugaji amlabua Risasi Mkulima Simanjiro

PAUL Laizer ambaye ni mfugaji wa jamii ya kimasai, anashikiliwa na Jeshi la Polisi, Mkoa wa Manyara kwa tuhuma za kumshambulia kwa risasi, Walter Kaaya ambaye ni mkulima. Tukio hilo limeripotiwa katika Kata ya Loobosaiti, Wilaya ya Simanjiro, Mkoa wa Manyara wakati Kaaya mwenye umri wa

Mtoto wa Donald Trump atua nchini Tanzania

Donald Trump Junior ambaye ni mtoto wa aliyekuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amewasili nchini Tanzania kwa kile kinachoelezwa kuwa ni ziara binafsi ya kitalii. Trump Junior ndiye Mtoto wa kwanza wa Rais wa 45 wa Marekani, aliyetawala taifa hilo kubwa kwa kipindi kimoja. Mara tu baada

Uwanja wa Ndege Sumbawanga kuwa wa Kisasa Zaidi

Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga unatarijiwa kubadilika na kuwa wa kisasa zaidi kufuatia mkataba rasmi wa kuujenga upya ulitiwa saini wiki chache zilizopita. Tanzania kupitia Wakala ya Barabara Tanzania TANROADS imesaini mkataba wenye thamani ya shilingi Bilioni 55.908 na Kampuni ya Beijing