Browsing Category
Simulizi na Historia
Mulala: Eneo lililotoa watu Maarufu Meru
Mwanuo ndiye babu yake askofu Kitoi Nassari, yeye alioa wanawake karibia 60. Ana kijiji chake huko Siha Kinaitwa Tindigani
Historia ya Eneo linaloitwa ‘Maji ya Chai’ Arusha
Kwa nini hasa eneo lililo mbele kidogo ya Usa-River linaitwa 'Maji ya Chai?' Pengine tuanze na historia yake kwanza
Kwanini Nyerere Aligombana Na Viongozi wa Marekani?
Balozi wa Marekani Kipindi hicho, Bwana Leonhart anauelezea mkutano wake na Nyerere kwamba ”Haukuwa mzuri….”
Vituko Vya Tuntemeke Sanga: Msomi aliyemtaka Rais Nyerere ampishe Ikulu
Tuntemeke kutaka Nyerere ampishe Ikulu, lilimuudhi sana Mwalimu akaamua kutumia Sheria yake ya " The preventive Detention Act 1962" akamsweka mara moja kizuizini kijijini kwake Bulongwa na kumwamuru asitoke kijijni hapo hadi apate kibali maalum.
Padri Joseph Damn: Mateka wa Vita aliyefanya mambo makubwa Tanganyika
Katikati ya vita vya dunia, vita vya majimaji na mapambano ya mkwawa dhidi ya wajerumani, Padri Damn aliweza kufanya makubwa Tanganyika
Mikaeli Ahho: Chifu Mkatili Zaidi kuwahi kutokea katika Jamii za Wairaqw
Hii ni simulizi na historia adimu sana kuhusu chifu mkali na machachari kuwahi kutokea katika jamii za wairaqw
Hizi ni siri Kuhusu Mnyama Paka ambazo huenda zikakushangaza sana
Paka ni mnyama wa ajabu sana. Kuanzia kutuhumiwa kwamba anatumika na wachawi hadi kupewa uongozi mkubwa kule ulaya. Zifuatazo ni siri za Paka
Historia ya Eneo la Muheza, Tanga
"...Walimpa mlima wote wa Magila wakidhani kuwa atashindwa kujenga kwa sababu ya kuwa na mawe mengi. Kwa mshangao aliporudi aliyatumia mawe hayo hayo kujengea...!"
Safari Kuelekea Mlima Ung’u: Simulizi ya Ujio wa Watu Wanaoishi Meru, Arusha
Neno Nkanti ambalo ndilo chimbuko la "Kikatiti," ni mwanamke bado hajazeeka au mke mdogo.
Tanzania na Mawe kutoka Sayari za Mbali
Mawe kadha ya ajabu kutoka sayari za mbali, maarufu kama Vimondo, yamekwisha kuanguka sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Je, kuna nini cha ziada eneo hili?